Sponsor

banner image

recent posts

Hakuna mwanamke mwenye makalio magumu



Nawasalimu katika jina la mahaba, zawadi bora kabisa kutoka kwa Mungu, ambayo shetani hayuko tayari kuikosa kwa namna yoyote ile.

Kwa wale wenye wenza, salaam na ziwaendee viazi mbatata wenu.

Niende kwenye kusudio.Siku zote mwanamke mwenye tako linalotikisika huwa ni kivutio kikubwa sana kwetu sisi wanaume.

Asikudanganye mtu,eti kuna wanaume wasiovutiwa na mitikisiko ya makalio ya akina dada au mama.

Pamoja na kutofautiana kwa ukubwa wa makalio kati ya mwanamke mmoja na mwingine, ukweli ni kuwa,makalio yenu wanawake ni fahari yetu wanaume.

Sina mke mwenye makalio makubwa.Nina mke mwenye makalio ya wastani yaliyojitokeza nyuma vizuri tu kutokana na kaumbo kake alikojaliwa na Mungu.

Mwanzo kabisa,makalio yake yalikuwa hayachezi.Kwa ubunifu wangu, hatimaye kwa sasa yanachezacheza vizuri kabisa kiasi cha kuwa kivutio mtaani.

Wengi hushangaa kutokana na umbo lake kiujumla,kuwa la kawaida.Baada ya kugundua kuwa mke wangu makalio yake yalikuwa hayachezi,nilianza kumshauri, kuachana kabisa na uvaaji wa nguo nyingi ndani.

Kilichofuatia,ni kuanza kuyachezea makalio yake kwa namna ya kuyakanda kila siku na kwa wakati wowote tuu awapo na mimi.

Huwezi amini kabisa.Ukweli ni kuwa hatimaye nimefanikiwa.Mara nyingi mke wangu huvaa nguo laini ambayo haibebwi na chochote kama yupo nyumbani.Kama yuko safarini,huvaa chupi laini ambayo haibani kupita kiasi.

Hakika siachi kumtazama mke wangu kwa jicho la huba.Hakika makalio,yana raha yake.Wanawake kuwa na makalio laini yenye mitikisiko inawezekana,hata kama makalio yao ni ya kawaida.

HEBU MFANYE MKEO AU MPENZI WAKO ATIKISIKE NYUMA.HAKIKA HATA YEYE MWENYEWE, KUFURAHIA MTIKISIKO WAKE.Mwanamke kuwa na tako gumu haikubaliki.TUTOKOMEZE MAKALIO MAGUMU KWA WAPENZI NA WAKE ZETU.

Pole kwa riwaya ndefu.NB, hakikisha mpenzi au mkeo anavaa magauni laini ya kisasa yenye mvuto.

Hakuna mwanamke mwenye makalio magumu Hakuna mwanamke mwenye makalio magumu Reviewed by Love Psychologist on May 03, 2019 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.