Sponsor

banner image

recent posts

Faida Ama Uzuri wa Kuoa Single Mothers na Wadada Over 35 years



Ndoa nyingi zina changamoto lakini nimegundua ukioa single mother au dada ambae ni 35+ hawa watu mara nyingi huwa ni wife materials ukilinganisha na hawa wenye age ya 20-35.

*Hawa watu wana commitment sana katika ndoa zao.
*Wanakuwa washapitia changamoto nyingi zinazohusisha mahusiano so huwa hawasumbui.
*Wengi wamekomaa kiakili na wanajua jinsi ya kuhandle mume na familia kwa ujumla
wana mazuri mengi.

Kama hujaoa ukipata watu wa namna hii usipoteze fursa.
Faida Ama Uzuri wa Kuoa Single Mothers na Wadada Over 35 years Faida Ama Uzuri wa Kuoa Single Mothers na Wadada Over 35 years Reviewed by Love Psychologist on April 01, 2019 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.