Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake…. Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake. Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwake…. Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudi… MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka MJOMBA; ndo uje uchi? JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐
๐๐ Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta๐๐✔
Reviewed by Love Psychologist
on
April 01, 2019
Rating:
No comments: