Nimewahi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume ambaye wakati tukisokotana ikifika muda wa yeye kumwagika alikuwa anapiga kelele sana hadi ilikuwa inabidi kumziba mdomo... Nimeona hiii imekuwa kero muda mwingine kwenye nyumba za kupanga baadhi ya wanawake /wanaume wamekuwa wakiwakera majiranii...mtu kupiga kelele too much inatokana na nini ????Au ni ugonjwa ?
Kupiga kelele wakati wa tendo ni ugonjwa au inatokana na nini
Reviewed by Love Psychologist
on
April 08, 2019
Rating:
No comments: