Sponsor

banner image

recent posts

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”



Kwa sisi ma-senior bachelor huwa kuna changamoto kadhaa tunapata kwenye kuchagua mtu sahihi wa kuoa.

Kama ilivyo kwa wanawake hata sisi wanaume huwa tunapewa pressure sana na wazazi , ndugu, jamaa na marafiki kuhusu kuoa. Maswali kama unaoa lini? Kwanini huoi? tunakumbana nayo sana. Tushirikishane changamoto na jinsi ya kuzikabili.

1. Kwasababu age imeenda wanawake wengi waliofikia umri wa kuolewa unawaona wadogo kiumri na kimatendo(22-26)

2. Wale ambao hawakubahatika kuolewa hadi 32-35 unawaona wazee sana ingawa wewe ni mzee kuliko wao! (mwanaume hazeeki)

3. Kama uko kama mimi na misimamo ya kutotaka kuoa mwanamke aliezaa utapata tabu sana maana wengi wenye age ya kutulia (28-31) wameshazaa na watu wengine.

4.
5.
6.

Vijana nawashauri kama mnataka kuoa msichelewe sana.
Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor” Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor” Reviewed by Love Psychologist on May 10, 2019 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.