Sponsor

banner image

recent posts

Mume Wangu Hafiki Kileleni ni Kawaida au Ana Tatizo ?

Mume Wangu Hafiki Kileleni ni Kawaida au Ana Tatizo ?






Habari zenu wapendwa, Weekend nilipata mgeni ambae ni ndugu yangu, ameolewa ana miezi 3 tu, lililomleta hasa ni kutafuta ufumbuzi anasema tangia ameolewa Mume wake alifika kileleni siku ya Honey Moon tu wana miezi 3 sasahivi hajawai fika tena lakini akiingia uwanjani anaweza ata kukesha tatizo ni hilo hafiki mwisho, amemuuliza kwanini anasema nayeye hajui kwanini, nimeona niwaletee nyinyi wana JF mabingwa wa TIBA ya kila tatizo, maana mdogo wangu amekosa amani ameshaanza kuona kupata 

Mume Wangu Hafiki Kileleni ni Kawaida au Ana Tatizo ? Mume Wangu Hafiki Kileleni ni Kawaida au Ana Tatizo ?
Reviewed by Love Psychologist on May 06, 2019 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.