Kuna jamaa angu tunafanya nae kazi sasa jana kaja ana simu ndogo mpyaa nikamuuliza vipi Ndugu simu yako ile smart ipo wapi?? Jamaa akasema demu wangu alikuta msg za mademu wengine akaivunja kisha kaitumbukiza kwenye maji... Aisee nilishangaa sanaa How yani??? How??? Afu jamaa hadi leo hajamwambia chochote kuhusu ile simu wanachat tu kawaidaa
Wadada Punguzeni visiraniii..!
Nilidhani ni story kumbe Kweli
 
        Reviewed by Love Psychologist
        on 
        
May 10, 2019
 
        Rating: 
      
 
        Reviewed by Love Psychologist
        on 
        
May 10, 2019
 
        Rating: 

No comments: