Jamani naomba niliweke sawa hili swala, nikwamba uzuri wa mwanamke sio sura bali ni TABIA, na neno hili ni kifupicha "TAko ni BIdhaa Adim"
na ndio maana wanaume tunajitahidi kugeuza shingo na kuangalia nyuma paletu wadada wanapotupita, nikwamba tunajihakikishia kama kweli Tabia njema ipo kweli kwa hao wadada!!?
Kwahyo basi niendelee kuwasihi wanaume wenzangu endeleeni ku maintain wajibu wenu.
Mwanamke sio sura
Reviewed by Love Psychologist
on
April 08, 2019
Rating:
No comments: