Nina miaka 24
Namaliza chuo mwezi wa 7 (degree ualim)
Mnyakyusa
Mkrito
Pia najishughulisha na biashara
Sina mtoto
Sifa za MWanaume
awe ameajiriwa au amejiajiri
Mwenye kujituma na kupenda maendeleo
29-35 miaka
asiWe na mtoto akiwa nae asizid mmoja
Mkristo
Karibuni..
No comments: