Ni Bora Kuanzisha Mahusiano Na Mtu Mwenye Kipato cha Chini Au Cha Kawaida Na Akawa Anaheshimu Hisia zako na Kukupa FurahaKuliko Kumng'ang'ania Mwenye Kipato Kikubwa halafu ukaishi Kwenye maumivu ,Migogoro Na Majuto Kwenye Maisha Yako Yote
No comments: