Sponsor

banner image

recent posts

Mwanamke ni sumu kina dada mtatumaliza jamani



Habari zenu waungwana?

Leo naja kusema na akina dada munatuuwa bure wanaume kwa hakika mutabaki kua wengi kwa Visa vyenu maana munatuuwa sana wanaume mwisho wa siku kuna hatari ya kua peke yenu katika dunia hiii.

1. Pelelezeni kwa makini sana wanawake wote wanataka mapenzi ya dhati na mwanaume muaminifu kumbe wao ndio chanzo cha machafuko ya mahusiano yake.
Mwanamke hajipambi hadi atoke kuenda harusini, hamjali mwenza wake, hana maneno ya busara munajiona kama malaika.

2. Munamezidi kujipamba ili utumie roho kwa mapambo ya bandia manyoya ya wanyama muwe wazuri kazi yenu kututenga baada ya kutegeka kinachofuata ni usaliti.

3. Wanawake wanatupa mawazo kila wakati yaani matunzo, mahitaji yote ila munavyofanyiwa hamuna vyema mumetufanya maajali mingi kwa kuwarizisha nyinyi wakati hata mufanyiwe nini hamuriziki

4. Muna alianza kwa wingi kuliko wanavyozaliwa watoto wa kiume jambo linaloelekea sisi kua kidogo sana na nyinyi kua wengi kila tukijikaza tupendane nanyi tunaambulia mauti.

Wanawake muliokua katika mahusiano na ndoa nakuombeeni wapunguzieni mazila wenza wenu musiwatafutie mauti ya kusudi.
Mwanamke ni sumu kina dada mtatumaliza jamani Mwanamke ni sumu kina dada mtatumaliza jamani Reviewed by Love Psychologist on May 04, 2019 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.