Habari
Leo katika pita pita zangu huko na huko gafla nilikutana na manesi wa hosptali fulani ya serikali,wao walikuwa kwenye zoezi la upimaji wa virusi vya ukimwi kwa wanawake wanaojiuza kwenye madanguro.
sikutaka kujua stori nyingi zaidi pale ila niliwauliza eehh ripoti yenu inasemaje kwa ufupi sana walinitajia madanguro yafuatayo;
1.Double kebini kwa wahaya TANDIKA pale maambukizi ni nusu nusu;
2.KIGAMBONI kalibia wote wameathirika wakiwemo na wakenya wanaojishughulisha na kujiuza
3.KINONDONI maambukizi ni nusu kwa nusu
4.MANZESE maambukizi ni nusu kwa nusu
Taarifa: Madanguro haya ni hatari kwa afya yako
Reviewed by Love Psychologist
on
May 04, 2019
Rating:
No comments: