Masoud Kipanya ameweka wazi kuwa mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja kutokana na kwamba mwanamke ana excuses nyingi sana kama kuchoka,kwenda mwezini,ujauzito( Kuna wanawake wakipata ujauzito yeye ni kichefuchefu na kutapika, asubuhi mpaka jioni yupo anakula udongo tu,),kuzaa,katika vipindi hivi mwanaume inabidi asimguse mwanamke hivyo kusababisha kuchepuka
Naunga mkono hoja,huwa nachepuka sana baby momy wangu akiwa mwezini, mwanamke hawezi kukupa pussy kama unavyotaka Mara amechoka,Mara hajisikii,kwa maumbile yetu wanaume hatutosheki na mwanamke mmoja ila mara nyingi tunajizuia tu kwa kuogopa magonjwa n.k msikilize hapa zaidi
....
No comments: